7. Machi 2024

Matunda na Mboga

Katika siku za usoni, kutakuwa na uwezo wa kupiga oda kwenye mtandao ya matunda /mboga ambazo tunapanda kwa njia ya Kilimo cha muda mrefu au permaculture.

Tungependa hatimaye matunda na mboga zetu zitumike katika sekta ya jikoni Tanzania.