7. Machi 2024

Mechi iliyoairishwa dhidi ya Dar Star FC ya isha bure kwa bure

Mechi dhidi ya Dar Star FC iliweza kuchezwa hatimaye baada ya T.F.F. kuiairisha, kwa sababu Marefa walichelewa kufika katika hatua ya kwanza. Wakati ulifika na Timu yetu ilihofia ushindi huu muhimu. Angalau pointi moja kwa timu hizi mbili ilikuwa ni lazima. Wote waliweza kuing’ang’ania kwa udi na uvumba. Mchwano huu …

Mechi iliyoairishwa dhidi ya Dar Star FC ya isha bure kwa bure Read More