7. Machi 2024

Mgeni Zanzibari

  Mash Marley, mtayarishaji wa nyimbo katika studio ya Stonetown Records huko Zanzibari, ambaye tayari alikuwa amerekodi wimbo wetu wa TanZebra, aliguswa sana na juhudi zetu za kuwasaidia watoto wasiojiweza, kwamba mara moja naye alianzisha chuo cha mpira wa miguu: Kwahani FC.   TanZebras FC ilialikwa kama mgeni rasmi wa …

Mgeni Zanzibari Read More