7. Machi 2024

Beji ya Nahodha

Katika michuano ya Ulaya, Bernard Dietz alikuwa nahodha wa timu ya taifa ya Ujerumani na pia ndiye nahodha aliyesaidia timu katika ushindi. Wachezaji mashuhuri ambao pia walikuwepo katika nyakati zake ni kama vile Karl-Heinz Rummenigge, Klaus Allofs, Lothar Matthäus  na Toni Schumacher. Lakini ilikuwa ni mchezaji wa MSV Ennatz ambaye ndiye …

Beji ya Nahodha Read More

Bima na Mikataba – Kazi ya Ofisini yaleta raha kweli!

  April 2020: Corona yatia dunia nzima katika hali ya wasiwasi.  Uropa ipo katika hali ya hatari. Soka kote umeghairishwa. Iwapo wachezaji wanaweza kucheza, mashabiki nao hawaruhusiwi kuingia kwenye viwanja vya michezo. Lahaula lastaflahi! Kuelekea Kusini, kule Gongo La mboto, eneo la Dar Es Salaam, Tanzania, Don ana mawazo mazuri …

Bima na Mikataba – Kazi ya Ofisini yaleta raha kweli! Read More